Rai

  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size

Elimu

Ukahaba washamiri

Print PDF

RIPOTI MAALUMU
*Wanafunzi vyuoni, sekondari, shule za msingi wasagana, walawitiana, wajiuza
*Mawakala wa ngono wajichimbia kwenye vitongoji kadhaa jijini Dar es Salaam
*Wafanyabiashara, wananasiasa, vigogo wa Serikali ndiyo wateja wakubwa Dar, Dom

WAKATI chanzo cha ufaulu duni wa wanafunzi wa kidato cha nne mwaka 2012 ukiwa bado katika uchunguzi wa Serikali, uvundo mkubwa umebainika kwenye asasi, shule na vyuo mbalimbali nchini na kutishia ustawi wa jamii ya Kitanzania.

James Mbatia: Mbunge anayelia na itikadi za vyama bungeni.

Print PDF

KABLA ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka huu kuliibuka mjadala mkubwa bungeni ambao ulihusu hoja binafsi uliyotolewa na Mbunge wa Kuteuliwa (NCCR-Mageuzi), James Mbatia.

Waliotutembelea