Rai

  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size

Rai

Mbinu mpya hadharani

Print PDF

MPAMBANO WA MGOMBEA URAIS CCM 2015
*Vita kali yatabiriwa kati ya Wasira, Lowassa na Nchimbi
*Mpango wa kukatwa jina la Lowassa waunganisha makundi
KATIKA hali inayooshesha kupamba moto kwa harakati za kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), makundi ndani ya chama hicho yameanza kuungana.

Mbali ya kuungana kwa makundi, pia wale wote wanaotajwa kuwania kuteuliwa, macho na nyoyo zao vimeelekezwa kwa Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Rais Jakaya Kikwete, ambaye nguvu aliyonayo ndani ya vikao vya uteuzi inatarajiwa kutumika kumpata mgombea urais.

Ingawaje viongozi wa juu wa CCM wamekuwa wakipinga mjadala kuhusu mgombea urais au Rais ajaye ndani ya chama hicho kikongwe nchini, lakini mjadala huo unatajwa kufunika hata ile mijadala muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Mara ya mwisho imehaririwa Alhamisi, Aprili 18, 2013 07:48

Ukahaba washamiri

Print PDF

RIPOTI MAALUMU
*Wanafunzi vyuoni, sekondari, shule za msingi wasagana, walawitiana, wajiuza
*Mawakala wa ngono wajichimbia kwenye vitongoji kadhaa jijini Dar es Salaam
*Wafanyabiashara, wananasiasa, vigogo wa Serikali ndiyo wateja wakubwa Dar, Dom

WAKATI chanzo cha ufaulu duni wa wanafunzi wa kidato cha nne mwaka 2012 ukiwa bado katika uchunguzi wa Serikali, uvundo mkubwa umebainika kwenye asasi, shule na vyuo mbalimbali nchini na kutishia ustawi wa jamii ya Kitanzania.

Mpango wa uvamizi Loliondo wabainika

Print PDF

*Mkakati mzito wapangwa, wanyama wauawa makusudi
*DC wa kwanza wa iliyokuwa Wilaya ya Masai azungumza

WAKATI vuguvugu la kupinga hatua ya Serikali kuligawa Pori Tengefu la Loliondo likiendelea, taarifa za kuwapo mpango wa uvamizi katika eneo la uwindaji wa kitalii zimebainika.

Aibu wabunge kutofundishika

Print PDF

KIKAO cha Bunge la Bajeti kinaendelea mjini Dodoma huku hoja kadhaa zikiwasilishwa na kutoa nafasi kwa wabunge ambao ndio wawakilishi wa wananchi, kuchangia hoja hizo kwa maslahi mapana ya taifa hili na vizazi vijavyo.

Kiyabo: CCK itatoa Rais 2015

Print PDF

*Kupanga safu imara ya uongozi kesho jijini Dar es Salaam
RICHARD Kiyabo (pichani), ni kada wa Chama Cha Kijamii (CCK) ambaye pia ni mmoja wa waasisi wa chama kilichoundwa na kuitikisa Tanzania kwa muda mfupi kabla ya kufutwa, Chama Cha Jamii (CCJ). Mwanasiasa huyo amefanya mahojiano na RAI, ambapo ameeleza kuwa CCK ina nafasi kubwa ya kukamata dola mwaka 2015.

Makala zaidi...

  • Mauaji gerezani
  • Ni ushirikina mtupu
  • Tusiishie kuzindua miradi ya maji tumulike ufisadi na udhaifu
  • Bidhaa hafifu zinaigharimu Serikali yetu

Kurasa 6 kati ya 34

Waliotutembelea